Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mjini Magharibi, Talib Ali Talib akizungumza na wananchama na wapenzi wa chama hicho katika ufunguzi wa Kampeni za Jimbo la Kwahani. Picha na Zuleikha ...
Bao pekee la Elie Mpanzu limetosha kuifanya Simba iibuke na ushindi jijini Francistown, Botswana dhidi ya wenyeji wao Gaborone United katika mechi ya raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika leo, ...
Dar es Salaam. Baada ya kifo cha Askofu mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dk Stephen Munga, Askofu Dk Benson Bagonza amesema walikuwa ...
Mgombea wa urais kupitia Chama cha Ada Tadea, Georges Busungu (kushoto) na Mgombea mwenza Ali Makame Issa wakiwasili kwenye mkutano wa hadhara wa kujinadi kwa wananchi katika viwanja vya Tangamano ...
Rukwa. Mgombea ubunge wa Sumbawanga mjini kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Aesh Halfan Hilary amesema endapo atapata ridhaa ya kuchaguliwa atahakikisha changamoto ya pembejeo za kilimo ...
Dar es Salaam. Viongozi, wanachama na wapenzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo watalazimika kugawana kumbi za Mahakama katika kufuatilia mienendo ya kesi mbili tofauti ...
Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimemvua uanachama kada wake Monalisa Ndala ambaye hivi karibuni aliibuka kupinga uteuzi wa mgombea urais wa chama hicho Luhaga Mpina. Monalisa amevuliwa ...
Dar es Salaam. Abiria wanaotumia usafiri wa daladala jijini Dar es Salaam, leo wamekuwa katika wakati mgumu baada ya usafiri huo kuwa adimu kutokana na daladala nyingi kukodiwa na makada wa Chama cha ...
Arusha. Serikali imesisitiza kuwa hakuna leseni iliyotolewa wala itakayotolewa kwa ajili ya uchimbaji wa magadi soda ndani ya Ziwa Natron pamoja na tafiti kuonyesha wingi wa magadi hayo. Pamoja na ...
Unguja. Mchakato wa kura za maoni ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), huenda ukawatenganisha mawaziri na naibu mawaziri kadhaa na nafasi za uwakilishi katika baraza lijalo la wawakilishi. Hilo ...
Dar es Salaam. Mwanamuziki wa Bongo Fleva Rayvanny (Raymond Mwakyusa) anatarajiwa kutumbuiza kwenye hafla ya ufunguzi wa Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), ...
Dar es Salaam. Wakati Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) ikitoa kibali cha kutoa elimu ya mpigakura wakati wa uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025, wadau wa uchaguzi wameshauri taasisi na asasi zote za ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results