News

Jeshi la Sudan limetangaza mafanikio makubwa baada ya kukomboa mji wa Wad Madani, mji muhimu mashariki mwa nchi hiyo, kutoka mikononi mwa vikosi vya wanamgambo wa Rapid Support Forces (RSF). Tukio ...
Asasi za Kiraia (AZAKi) zimewasilisha maoni ya ziada ya kuhakiki rasimu ya Dira Ya Taifa ya Maendeleo 2050 chini ya uratibu wa Foundation for Civil Society (FCS) kwa Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya ...
Ushiriki wa Rais Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa G20 uliofanyika hapa Rio de Janeiro, Brazil na kuhusisha nchi tajiri 19 duniani, Umoja wa Ulaya (EU) na Umoja wa Afrika (AU), umekuwa wa manufaa ...
Wahariri wa vyombo vya habari nchini wametakiwa kutumia vyombo hivyo kuihamasisha jamii kufanya uchunguzi wa afya upande wa magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo magonjwa ya moyo. Rai hiyo imetolewa jana na ...
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua rasmi Ofisi Maalum kwa Walipa Kodi Binafsi wa Hadhi ya Juu, ikiwa ni hatua ya kuboresha huduma kwa kundi la walipa kodi wenye mchango mkubwa katika uchumi wa ...
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Akiba (ACB), Silvest Arumasi, akimkabidhi cheti cha shukrani Twaiba Msechu, wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja iliyofanyika katika tawi la Ubungo, Dar ...
Mkurugenzi Mtendaji wa Shule Soft, Ephraim Swilla(katikati) akizungumza wakati wa kutambulisha mfumo huo kwa waandishi wa habari, kulia kwake ni Mkuu wa Masoko wa Selcom, Shumbana Walwa na kushoto ...
Wachezaji wa timu ya Simba, viongozi na benchi la ufundi wamekutana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi leo Septemba 25,2024 baada ya kuwasili visiwani ...
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko, ametoa wito kwa sekta zote nchini kusoma na kusimamia Sera Mpya ya Taifa ya Biashara na kuifanyia kazi. Wito huo umetolewa leo, Julai 30, ...
Mhandisi kutoka Tarura Wilaya ya Ilala, Leginald Mashanda, akizungumza na wananchi wa Mtaa wa Kisiwani wakati wa ziara ya Mbunge wa Jimbo la Segerea kukagua miundombinu ya Kata ya Tabata. Na Nora ...
AMANI Josiah ni moja ya majina ya makocha vijana wa Kitanzania yaliyotikisa msimu ulioisha kwenye Ligi ya Championship akiifundisha Biashara United ya Mara ambayo manusura aipandishe kwenda Ligi Kuu ...
Rapa anayekuja kwa kasi kwenye muziki wa Hip hop kutoka Marekani, Federal Da General, amewaonjesha mashabiki ladha ya albamu yake mpya kwa kuachia nyimbo tano: “Your Body,” “Dropicana Assa Anna,” “Pop ...