News

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dk. Jim Yonaz ameipongeza Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kwa kukamilisha zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura na kuendelea ...
Mwenyekiti wa Tume ya Rais ya Kukusanya Maoni ya Maboresho ya Kodi, Balozi Ombeni Sefue, ameongoza wajumbe wa tume hiyo katika zoezi la kukusanya maoni ya wadau wa kodi, likianza rasmi mkoani Mwanza.