News
Mashirika ya kibinadamu yanasema hali inazidi kuwa mbaya na wanawake ni miongoni mwa walioathirika zaidi, huku wengi wao ...
Ubelgiji iliwakama wanajeshi wawili wa Israeli kwa kuwashuku uhalifu wa kivita katika Ukanda wa Gaza, katika eneo la Palestina.
Serikali inapanga kutumia udongo wenye kiwango kidogo cha dutu za miyonzi kwa ajili ya kazi za umma na miradi mingine ili kupunguza uwingi wa utupaji wa mwisho wa udongo huo kadiri iwezekanavyo.
Israel inasema imewashambulia kwa mabomu wanajeshi wa serikali ya Syria karibu na Suweida, walipokuwa wakiingia katika mji wenye wakazi wengi wa Druze kufuatia siku mbili za mapigano mabaya ya kidini.
The Kwa-Thema Main Clinic, with support from the Soul City Institute, launched adolescent-friendly health services on July 4, offering young people judgment-free access to medical care, mental ...
Rais wa Shule ya Utawala Afrika (ASG), Profesa Kingsley Moghalu, amesema changamoto za utawala Afrika haziwezi kutatuliwa kwa kutumia mifumo ya kuagizwa kutoka nje.
Enock ambaye picha yake mjongeo ilienea kwenye mitandao ya kijamii jana, alionekana akipigwa na watu wanaodaiwa kuwa viongozi wa kijiji wakisaidiana na askari mgambo kwa tuhuma za kuiba kompyuta ...
Picha halisi ya mahitaji nchini Iran imeanza kuonekana baada ya vita vya siku 12 kati ya Israel na Iran, vilivyosababisha mamia ya vifo, hospitali kadhaa kushambuliwa, na ongezeko la wakimbizi wa ...
NHK imefahamu kuwa hekalu katika Mkoa wa Nagasaki, kusini magharibi mwa Japani, itatoa kwa Korea Kusini taarifa ya picha ya sanamu yake ya Kibudha kwa mfumo wa picha ya pande tatu ili nakala ya ...
Hili ni tangazo la kijasiri kutoka Beijing: China itaondoa ushuru wote wa bidhaa zinazouzwa nje kutoka nchi 53 za Afrika ambazo inadumisha uhusiano wa kidiplomasia nazo. Hadi sasa, ni nchi 33 ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results