News

Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini ahimiza ubunifu, weledi kwa watumishi Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Ramadhani Lwamo, na Mkurugenzi wa Rasilimaliwatu na Utawala, Nsajigwa Kabigi, ...
Picha: Mpigapicha Wetu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dk. Jim Yonaz. Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dk. Jim Yonaz ameipongeza Tume Huru ya Taifa ...
Kamanda wa kituo cha polisi ambapo mtu huyo mwenye umri wa miaka 31 alifariki ni miongoni mwao, waendesha mashtaka wa Kenya wametangaza Jumatatu, Juni 23. Hata hivyo, Eliud Lagat, naibu mkuu wa ...
KATIBU Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Ramadhani Lwamo, na Mkurugenzi wa Rasilimaliwatu na Utawala, Nsajigwa Kabigi, wametembelea banda la Tume ya Madini katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa ...
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC), Dk Emmanuel Mkilia,akizungumza mkoani Arusha leo Jumatatu Juni 23,2025 katika mafunzo ya kupunguza madhara ya vihatarishi katika ulinzi wa ...
MWANDISHI Mkuu wa Sheria, Onorius Njole amesema Chama cha Demokrasia na Maendelo (CHADEMA) bado kina nafasi ya kusaini Kanuni za Maadili za Uchaguzi Mkuu 2025 kabla ya mchakato wa uteuzi wa wagombea ...
Ripoti ya kila mwaka tume ya kupambana na dawa za kulevya katika nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika, inataja Kenya na Tanzania kuongoza katika usambazaji wa dawa hiyo kwenye ukanda wa Pwani ya ...