Inaelezwa kuwa malori karibu 100 yakiwa na shehena za mizigo yaliyotoka hapa nchini yamekwama DRC huku mengine yakishindwa ...
Baada ya Yanga kupata bao la kuongoza, iliendeleza mashambulizi langoni mwa Kagera Sugar na dakika ya 35 ilifanya shambulizi ...
Katika maandalizi ya kurejea kuanzia mwezi huu, Shirika la Masoko Kariakoo ambalo ndilo linalosimamia soko hilo, jana Januari ...
Wakizungumza na Mwananchi leo, Februari 1, 2025 kwa nyakati tofauti, baadhi ya wananchi hao wamesema awali walikuwa wakinunua ...
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Hospitali ya Manispaa ya Kahama mkoani humo, wastani wa 12 hutumika kila siku huku ...
Kinda huyo aliyeitumikia Arsenal akichezea vikosi vya vijana kwa miaka mitano, amesema kuwa amefurahia kujiunga na Manchester ...
Awali Mei 14, 2021, Mahakama Kuu Kanda ya Sumbawanga ilimhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa baada ya kumkuta na hatia ya ...
Wakizungumza leo Januari 31 katika kikao cha bajeti, baadhi ya madiwani wamesema stendi ya mabasi ya Mji wa Mbalizi haifanani na hadhi ya wilaya hiyo licha ya kuwa sehemu ya kuingiza fedha ...
Wilaya ya Kilindi imekuwa na changamoto ya migogoro ya ardhi ya mara kwa mara inayosababisha mapigano kati ya wakulima na ...
Hata sijui walipangaje miadi yao. Lakini walikutana kule bustanini wakapiga stori flani, yeye na nyoka. Baadaye akarudi ...
Shirika la Associated Press limeripoti kuwa katika taarifa yake kwa umma leo Jumamosi, Februari Mosi, 2025, wizara hiyo imesema mashambulizi hayo yamefanyika usiku kucha maeneo mbalimbali ya ...
Kutokana na uelewa huo mdogo wa jamii, wadau hao wameiomba Mahakama kutoa elimu zaidi ili kujenga imani hususan kwa watuhumiwa ambao kesi zao zinasikilizwa kwa njia ya mtandao.