News
Mwananchi limefanya mahojiano maalumu na Kabendera ambapo amezungumzia masuala tofauti na kilichomwondoa Chaumma.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimewataka Watanzania kuendeleza mapambano ya kudai Katiba Mpya na kuondolewa kwa ...
Baada ya uongozi wa Chadema kulipuuza kundi hilo likiongozwa na Naibu Katibu Mkuu Bara, Benson Kigaila hatimaye liliamua ...
Hata hivyo, baadhi ya waasisi wa Chadema - ambao si wengi kwa sasa, wanamwona Lissu kama mwanaharakati zaidi kuliko mwanasiasa na siasa zake zinaonekana haziendani sana na misingi ya Chadema ya awali.
Katika harakati za kisiasa, Freeman Aikael Mbowe aliingia rasmi katika siasa mwaka 1992, akiwa miongoni mwa waasisi wa chama cha CHADEMA kilichosajiliwa kwa usajili wa kudumu mwaka 1993 chini ya ...
Chama kikuu cha upinzani, Chadema kimefungua dirisha kwa wanachama wake kuchukua fomu kuwania nafasi za uongozi, huku mmoja ya kigogo wake, Tundu Lissu, akiwa wa kwanza kujitwika jukumu la kuwania ...
Wabunge 19 wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania Chadema walioitwa na kamati kuu ya chama hicho kwa ajili ya kuhojiwa kutokana na kukiuka masharti ya chama hicho wamegoma kufika mbele ya ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results